09.11.2022 kuna tukio linakuja ni zuri sana kwenye familia ya Kibebra. Kaa tayari.
KIBEBRA
Saturday, 5 November 2022
Wednesday, 3 June 2020
Thursday, 18 April 2019
Sunday, 17 March 2019
Thursday, 11 October 2018
KITAMBO SANA ILA KIBEBRA FAMILY BADO TUPO
Baada ya mda mrefu sasa familia ya ##KIBEBRA## imerudi hewani na ngoma kali mpya na mastory mengi ya town so tuwepo pamoja katika harakati za kupeana sapoti na kuendelea kuipenda blog yetu nzuri ya kijanja.
Saturday, 2 December 2017
MAANDALIZI YA SHEREHEE YA MSIMU WA TIMU YAO.
Wadau wakiwa katika pilika pilika za hapa na pale za kufunga msimu wa timu yao ya NEW VISION FC, Ni asubuhi flani hivi katika viwanja vya shule ya msingi CHELA KAHAMA.
Maraa paaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Maraa paaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
##NEW VISION FC YAFANYA KIKAO CHAKE CHA MWAKA 02.12.2017.##
Ni mwaka mwingine tena timu ya NEW VISION FC inafanya kikao chake cha kufunga msimu wa mwaka wa 2017,Mambo mengi yamejadiliwa katika kikao hicho na kubwa zaizi ni kusisitiza juu ya wachezaji kuwa commiteement na timu yao lakini kubwa zaidi wamejadili mapungufu ya vifaaa vya michezo mfano wa vifaa hivyo ni sox, mipira ,wavu wa golini, na kutoa michango kwa wakati ili kuiendeleza timu katika leval za hali ya juu;
Hata hivyo capten alijaribu kuongelea mapungufu hayo kwa kutaja bei za kila kimojakimoja na kuuweka mjadala huu hewani kwa wadau waweze kujadili ni mapungufu yapi yanatakiwa kutatuliwa haraka vitu hivyo ni 1.BEGI,
2. DAWA ZA TIMU,
3.PUMPU NA
4. GLOVES ZA GOOLKEEPER.
BAADA ya majadiliano yaliochukua takribani nusu saa wadau waliomba kutoa mchango ili kuweza kuchangia vifaa hivyoo.
Wadau wakielekea kupata chakula baada ya kikao chao cha kufunga msimu wa timu yao ##NEW VISION FC FOREVER##
Hata hivyo capten alijaribu kuongelea mapungufu hayo kwa kutaja bei za kila kimojakimoja na kuuweka mjadala huu hewani kwa wadau waweze kujadili ni mapungufu yapi yanatakiwa kutatuliwa haraka vitu hivyo ni 1.BEGI,
2. DAWA ZA TIMU,
3.PUMPU NA
4. GLOVES ZA GOOLKEEPER.
BAADA ya majadiliano yaliochukua takribani nusu saa wadau waliomba kutoa mchango ili kuweza kuchangia vifaa hivyoo.
Wadau wakielekea kupata chakula baada ya kikao chao cha kufunga msimu wa timu yao ##NEW VISION FC FOREVER##
Sunday, 26 November 2017
NGOMA MPYAA YA K2S ###### TIRED COUNTRY##### NOW IPO KWA HEWAA.
MSIMU WA SHAMBA NDIO HUOOOO.
Kwa wale wakulima sasa kazi imeanzaa kwani mvua zimeanza kunyesha na hali ni nzuri kimsingi , tukazane kulima ili tujikwamue na hali ngumu ya kiuchumi maana vyuma vimeendelea kukazaa tuuu.
Friday, 12 May 2017
BALOHA SEKONDARI yaonja joto ya jiwe.
Timu ya wanafunzi ya shule ya sekondari baloha imeonja Joto ya jiwe baada ya kupewa kichapo cha goli tano(5) kwa moja kutoka kwa timu ya shule ya Bulige mchezo ambao ulikua wa kirafiki uliotawalia na sintofahamu kibao nao kina Dada wa Baloha sekondari wakatoa upinzani mkali katika netball japo mchezo huo haukufika mwisho kutokana na vurugu Za wanakijiji uwanjani hapo japo Baloha sekondari ilionekana kuwajuu katika michezo yote lakini bahati haikua yao. Hata hivyo Baloha sekondari ilitoka na ushindi katika Volleyball mpira wa wavu napia iliwatoa mbio ktk academic issue ambalo ndio suala la msingi ktk smile. Chini ni baadhi ya picha za mchezo huo.
New vision FC yajipanga.
Baada ya timu ya New vision FC kupoteza mchezo wao wa kwanza dhidi ya kahama Rangers FC timu hiyo imejipanga kuhakikisha itakwenda kupambana vikali katika mchezo wao wa pili.Hata hivyo kocha mkuu wa timu hiyo Clisher yoramu alimaarufu kwa jina la mzee wa arsenal alikisifu kikosi chake jinsi kilivyo cheza katika mechi yake ya kwanza na kusema kikosi chake anakiamini kipo vizuri hivyo kufungwa ni sehemu ya matokeo matatu katika mchezo wa mpira na kusisitiza kuendelea na mazoezi na kua na umoja
Picha ya juu ni kikosi cha New vision FC kilichokua kimeanza
Na picha hii ya chini ni baadhi ya wachezaji wa akiba wa New vision FC na picha ya mwisho kabisa ni baadhi ya wachezaji wakipewa mawili matatu na viongozi wa time.
Picha ya juu ni kikosi cha New vision FC kilichokua kimeanza
Na picha hii ya chini ni baadhi ya wachezaji wa akiba wa New vision FC na picha ya mwisho kabisa ni baadhi ya wachezaji wakipewa mawili matatu na viongozi wa time.
Thursday, 2 March 2017
TIRED COUNTRY
SIKU ZINAENDA ILA MAMBO HAYAENDE KWASABABU YA UGUMU WA MAISHA UNAWEZA KUONA WATANZANIA WANACHEKA LAKINI HAWANA AMANI NA FURAHA NA NCHI YAO, HAYA YANAONEKANA KWA MACHO NA MDA MWINGINE KWA VITENDO KABISA. JIFUNZENI KUSEMA KWELI NA SI KUOGOPA MAANA WANAO ONEWA NI TABAKA TAWALIWA NA ZAIDI WANAONEWA KWA VITISHO NA KUTISHIWA MAISHA ALI HALI TANZANIA YETU NI YA AMANI NA FURAHAA.
LAKINI YOTE HAYA YANAWEZA KUISHA KWA KUSHIKAMANA PAMOJA KATIKA HALI HII NGUMU YA MAISHA MAANA WATU WANAJIULIZA JE KWELI HII NI NCHI YA VIWANDA, PIA WATU WENGINE WANADAI PESA ZA VIJIJI ZIKO WAPI NA WADAU WENGINE WANAULIZA VIPI KUHUSU MISHAHARA NA MADENI YA WAFANYAKAZI.
PAMBANA HADI MWISHO TETEA NCHI YAKO.
LOVE DOES NOT ASK WHY
https://www.facebook.com/KIBEBRA/photos/a.354793364881196.1073741827.354787438215122/354793248214541/?type=3.
ukweli wa maisha siku zote huwa haupotei kama wewe ni mtu wa aina gani hujulikana tuuuuuu
new hit song
KIBEBRA FAMILY INAKUJA NA NYIMBO MPYA NA NI HIT SONG INAENDA KWA JINA LA #TIRED COUNTRY# IMEFANYWA NA K2S kijana wa UTAMU
Tuesday, 14 February 2017
BALOHA BET
BASHIRI MICHEZO IFUATAYO:
FOOTBALL FORM II VS FORM IV
NETBALL FORM II VS FORM III
VOLEBALL FORM II VS FORM I
BASHIRI USHINDEEE
Saturday, 3 December 2016
Thursday, 1 December 2016
Wednesday, 30 November 2016
Tuesday, 29 November 2016
KIBEBRA: NEW SONG COMING SOON
KIBEBRA: NEW SONG COMING SOON: ni hit after hit kaa mkao wa kula new hit from K2S the hit maker of utamu ambayo ni miondoko ya HIP HOP Amekuja kivingine kwa kuonyesha kua ...
NEW SONG COMING SOON
Monday, 28 November 2016
FAMILIA
Ukiwa na kijana wako kama huyu jamaa nirahaa sana ,hata mtoto pia anafurahia maisha na baba yake.Heshima ya ndoa ni watoto
Lakini yote haya hayawezi kwenda bila ushirikiano wa mama pia, Mama ndio kila kitu katika malezi ya mtoto hivyo wote kwa pamoja wajukumu la kumfanya mtoto afurahi.
Pia katika maisha kuchili na wana huwa ni vizuri pia hasa linapokuja suala kubadilishana mawazo.
YOTE MAISHA TUMWOMBE MUNGU TU.
Sunday, 27 November 2016
NGOMA MPYA YA UTAMU YA MSANII WETU K2S IPO HEWANI.
Sikiliza ngoma ya utamu ya msanii wetu mpya wa miondoko ya hip-hop anaeitwa KINGSON SANGA lakini kwa jina la kisanii ni K2S nyimbo inaitwa UTAMU.
MUNGU ANAWEZAAA
TUKUTANE KARIAKOO.
Mikutano mingine aisee ni noooomaaa cheki umati wa watu hawaaaaaaaaa , duuuh kweli #tz tupo wengi sana.
Ama hakika watu tupo wengi sana maana hata sasa hivi maeneo hayatoshi inafikia watu wanavamia hata mbuga za wanyama ili wapate makazi ya kuishi .
Hata hivyo haitoshi bado mazingira ya kufanyia kazi kwa watu ni magumu ila naamini tutafika kwani hii ndio TANZANIA YETU.Kwa kiapo hiki kwa wafanya kazi wa UMMA hapo penyeweeee sasaaaa.
MWISHO NAITAKIA AMANI NA UPENDO TANZANIA YETU.
http://ichef.bbci.co.uk/onesport/cps/800/cpsprodpb/9E1B/production/_92657404_rooneygetty.jpg

Je atafanya nini leo huyu jamaa kwenye mechi yao dhidi ya west ham united
NEW VISION FC SHINYANGA KAHAMA MSALALA.
NEW VISION FC Ni klabu ya mpira wa miguu iliyopo mkoa wa SHINYANGA wilaya ya KAHAMA halmashauri ya MSALALA, Jana tarehe 26.11.2016 walikua wana adhimisha sherehe yao ya kufunga musimu. Sherehe hiyo ilijumuisha mambo mengi sana ikiwemo kukuza klabu na kuendeleza akademi za vijana wadogo kwa lengo la kukuza na kuendeleza soka la TAIFA letu .
Licha ya sherehe hiyo kuwa nzuri na yenye mvuto wa aina yake bado kocha kuu ambaye kwa jina anaitwa CLISHER YORAM alisema TIMU hii ina vijana wadogo ambao wapo katika viwango safi kwani wana akademi iliojaa vipaji na wameanzisha akademi za watoto wa kike pia kama mnavyo waona katika picha zifuatazo;
Wadau na wafadhiri mbalimbali mnaombwa kuisaidia akademi hii ili kufikia malengo iliyo jiwekea ya kukuza vipaji vya watoto hao. Ni kauli ya kocha mkuu aliekaa na baadhi ya viongozi wapili kutoka kushoto katika picha hapo chini
Subscribe to:
Posts (Atom)