Ama hakika watu tupo wengi sana maana hata sasa hivi maeneo hayatoshi inafikia watu wanavamia hata mbuga za wanyama ili wapate makazi ya kuishi .
Hata hivyo haitoshi bado mazingira ya kufanyia kazi kwa watu ni magumu ila naamini tutafika kwani hii ndio TANZANIA YETU.Kwa kiapo hiki kwa wafanya kazi wa UMMA hapo penyeweeee sasaaaa.
MWISHO NAITAKIA AMANI NA UPENDO TANZANIA YETU.
No comments:
Post a Comment