Sunday, 26 November 2017

MSIMU WA SHAMBA NDIO HUOOOO.

Kwa wale wakulima sasa kazi imeanzaa kwani mvua zimeanza kunyesha na hali ni nzuri kimsingi , tukazane kulima ili tujikwamue na hali ngumu ya kiuchumi maana vyuma vimeendelea kukazaa tuuu.

No comments:

Post a Comment