Monday, 28 November 2016

FAMILIA

Ukiwa na kijana wako kama huyu jamaa nirahaa sana ,hata mtoto pia anafurahia maisha na baba yake.Heshima ya ndoa ni watoto

Lakini yote haya hayawezi kwenda bila ushirikiano wa mama pia, Mama ndio kila kitu katika malezi ya mtoto hivyo wote kwa pamoja wajukumu la kumfanya mtoto afurahi.

Pia katika maisha kuchili na wana huwa ni vizuri pia hasa linapokuja suala kubadilishana mawazo.


YOTE MAISHA TUMWOMBE MUNGU TU.

No comments:

Post a Comment