Friday, 12 May 2017

BALOHA SEKONDARI yaonja joto ya jiwe.

Timu ya wanafunzi ya shule ya sekondari baloha imeonja Joto ya jiwe baada ya kupewa kichapo cha goli tano(5) kwa moja kutoka kwa timu ya shule ya Bulige mchezo ambao ulikua wa kirafiki uliotawalia na sintofahamu kibao nao kina Dada wa Baloha sekondari wakatoa upinzani mkali katika netball japo mchezo huo haukufika mwisho kutokana na vurugu Za wanakijiji uwanjani hapo japo Baloha sekondari ilionekana kuwajuu katika michezo yote lakini bahati haikua yao. Hata hivyo Baloha sekondari ilitoka na ushindi katika Volleyball mpira wa wavu napia iliwatoa mbio ktk academic issue ambalo ndio suala la msingi ktk smile. Chini ni baadhi ya picha za mchezo huo.


ni baadhi ya matuio katika mchezo 

New vision FC yajipanga.

Baada ya timu ya New vision FC kupoteza mchezo wao wa kwanza dhidi ya kahama Rangers FC timu hiyo imejipanga kuhakikisha itakwenda kupambana vikali katika mchezo wao wa pili.Hata hivyo kocha mkuu wa timu hiyo Clisher yoramu alimaarufu kwa jina la mzee wa arsenal alikisifu kikosi chake jinsi kilivyo cheza katika mechi yake ya kwanza na kusema kikosi chake anakiamini kipo vizuri hivyo kufungwa ni sehemu ya matokeo matatu katika mchezo wa mpira na kusisitiza kuendelea na mazoezi na kua na umoja 
 Picha ya juu ni kikosi cha New vision FC kilichokua kimeanza 
 Na picha hii ya chini ni baadhi ya wachezaji wa akiba wa New vision FC na picha ya mwisho kabisa ni baadhi ya wachezaji wakipewa mawili matatu na viongozi wa time.